#Uchaguzi2020
#Kawe
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe Mhe.Halima Mdee, amekamatwa na jeshi la polisi kwa madai kwamba ameingilia zoezi la uchaguzi, baada ya kudai kuna mabegi ya kura feki yanayoingizwa kituoni hapo.
Hapa ni sehemu ya mzozo wa Halima Mdee na polisi.
@chazbhai92684 years agoUsikate tamaa dadaetyu mungu atupe uzima one day tutashinda.
@
@bjzee19814 years agoMwenyezi mungu amuadhibu kilawenye kudhulumu.
@
@mwalongojulius17554 years agoMungu amlipe sawasawa na matendo yake aliyeamuru mitandao kuzimwa kama siyo sasa badae kama siyo badae kesho kama siyo kesho week mwezi mwaka afedheeshe kama alivyo tufanyia yeye na walimtuma kama mungu aishivyo amen.
@
@selemanmuhidin21124 years agoDar, uchaguzi gani huu mungu tusaidie upite salama.
@
@veronicapaulo22334 years agoPole kwawale ambao wanadhani hawakupata haki yao. ila mimi nafikiri kwamba njia sahihi ilikuwa wananchi kugoma kupiga kura kama walihisi tu id="hidden2" umefanyika na kuingiza mabegi yenye kura ambazo hazikuwa halali. ...Expand
@
@karanibonge59064 years agoAlafu kulikua na wangalizi wa kimataifa ila walisema uchaguzi ulikua huru na haki chakushukuru mungu yupo na anaona pia kunamaisha baada ya uchaguzi tuchapeni kazi.
@
@israeleliah71634 years agoDaaah ndy mme shinda kwa kishindo hvy. 3
@
@mgessykishiwa26664 years agoMungu ataleta heshima yetu tu karibu sana.
@
@alicemzaza84604 years agoCyo haki kabisa uchanguzi wa mwaka cji kupiga kura tena cyo kabisa lakn mungu ni mwema atatusaidia cku atajibu maombi yetu.
@
@reaper55344 years agoMungu anawaona. Hasira ya mungu ni kali mno kuliko mnavyofikiria. 9
@
@mabenatv85544 years agoHalafu mshindi gwajima mtumishi wa mungu.
@
@halimaalsaad54694 years agoUongozi mmeukuta namtauwacha kwakwelisiwezi pigakura maisha yangu yote.
@
@baba5tv634 years agoYan ccm kama mnajiamin kua mnapendwa kwann mnawatesa wapinzani. 2
@
@georgezablon35224 years agoHatukuwa na uchaguzi ss, ila waacheni tu hao ccm. 2
@
@amenatanzania31484 years agoKweli nimeamini mungu analipa hapahapa duniani.
@
@simbarajabu41574 years agoNashangaa sana kumbe mmeshazoea kuwatisha watu safari akuna tupa kule sauti ya zege.
@
@masaielia20764 years agoSerkali mnatangaz aman huku mmeficha mapanga iko wapi aman yetu tanzania. 43
@
@shizoshop24694 years agoSiku mungu akinijalia kukutana na gwajima nitamuonyesha hii clip harafu nitamuulizaushindi wako?
@
@barakakimaro23944 years agoDuh wananchii wanakomaa kweli huo ndo umoja.
@
@emmanuelben4564 years agoKidumu chama cha mapinduzi kidumu chama tawala. Yeah.
@
@ericklibaba11984 years agoItoshe kusema huu ndio uchaguzi wa hovyo toka tanzania ijipambanue kama nchi huru. Na africa mashariki kwa ujumla. Daaah inaumiza sana ase. 2
@
@thomasraiton77604 years agoMchungaji gani askofu gani anakubali kirahisi kujihusisha na siasa wakati anajua siasa ni ufisadi uuaji uongo na mengine mengi ikiwemo uchawi na ushirikina?
@
@manassehjoseph34384 years agoDaah hii ndo tanzania nchi ya amani mh god bless us!
@
@rashidngwawile90624 years agoHaibu sana hii kama wao ndo washindi sa kwa nn waibe kura.
@
@fredichaki48684 years agoMajizi ya kula yana julikana tu yani adi haibu ovyo.
@
@dani721304 years agoSiku hizi mabegi yanabebea kura, ni mabadiliko makubwa haya, hongera gwajima kwa ushindi.
@
@salemaltameem88454 years agoWao hawapigani mabomu vo. Wanatuuwa sisi tu wapemba.
@
@africanheroestz-acapella24584 years agoArusha yetu iko shwari sana tumeshampiga mtu chini sasa hv tunaendelea na maisha.
@
@issaally79284 years agoAkuna namna zaidi ya kutorewa na jeshitu.
@
@jenifamligo51994 years agoHalima nakukubali sana lakn ndo ivyo daah. 1
@
@bjzee19814 years agoMungu afanye haki hapa hata kama nikumchukua anae dhulumu.
@
@nestor3844 years agoUchaguzi wa ulioharibika kuliko chaguzi zote zilizowahi kuwako huko nyuma. 16
@
@valenakomba44534 years agoHata hiyo siasa yenyewe ikiwa ndo hivi si bola ueche tuu. Maana unataka sana kujulikana. Ukifa ya vizuri sifa zitakuja zenyewe, hutakiwi kulazimisha.
@
@afandehassan14 years agoPolice force keep law and order please. 4
@
@augustinejoseph89574 years agoCcm ilikua ya zaman kwasasa ni cc wehu.
@
@izooozist68194 years agoHii nchi tutaishi ngizani paka lini. Utawala mbaya zaidi.
@
@ibrahimbakar6224 years agoUchaguzi huu wa tz ni ovyo kuliko chaguzi zote.
@
@buyukubwa97134 years agoKuna nini hapo mbona sielewi maana kelele tu.
@
@kiandangulwi35464 years agoTutende haki itapendeza otherwise sijui.
@
@aminaprincess98734 years agoItv rudisha taarifa tuone kawe kuna nini.
@
@paschalkasapa32494 years agoDuuh hata mtumishi wa mungu anatumia ushindi wa bao la mkono hii inasikitisha san.
@
@munaahmed84994 years agoHalima mdee shida sana kubali tu umestaafu ulichovuna bungen kinatosha ndgu yng.
@
@erickmageta5044 years agoNimemkumbuka sanani kiongozi ni mtawala na mbunifu wa kutatua. 2
@
@abelianraphili51504 years agoKumbe ndo maana mtandao ulifungwa ili hii tusione.
@
@wadeelegbogun30154 years agoMwaka huu bangi zenu zitawaaisha ni aibu sana. 1
@
@amosgerald77634 years agoYaan nyie polic wasenge kuharibu uchaguz.
@
@joymsupagladysijeya83844 years agoLakini sio poa kunimbia halima kura nampenda uyu mama anajituma sana.
@
@swahilientertainmentworld42664 years agoHakuna haja ya kupiga kura tz imeharibika.
@
@karanibonge59064 years agoLeo ndio mnaweka hii habari wakati uchaguzi umeshapata nyinyi waandishi hampo fear kweli. 1
@
@ericklibaba11984 years agoWapinzani wanaonewa sana tanzania kwa kiwango cha juu. 11
@
@jumajuxmaboneti78844 years agoTunaomb msiiuwe watu tena nishapotez kaka angu juz 2 kwwny huu uchanguz nyie mungu anawaona.
@
@chescomolla55574 years agoEti mtumishi wa mungu, mungu gani anaebariki wizi wa wazi kama huu, napata mashaka sana na wakristo wanaoongozwa huyu kibaka. Nimeamini hata yale yaliyokuwa. ...Expand
@
@mwanaidiharoun94914 years agoPole kapumzike mama kwa kweli tulikuchoka ila basis tuu mikocheni ujafanya lolote nenda bhaana bora kawe irudi chama tawala duu. 1
@
@wisemangodfrey9214 years agoHivi huwa wanaililiaga hii nchi au wanaliliaga nafasi zao na status.
@
@esterrhobi28244 years agoUchochezi tu wakati hata kura hujapiga.
@
@zalkiabendera72384 years agoIla kunawatu wakijiona wanarkodiwa wanapaza saut.
@
@frankd11564 years agoUmaskini mbaya sana. Hawa polis njaa msiwalaumu sana.
@
@mussabulugu63194 years agoMnashabikia kitu hujaona ndo mnaanza kutengeneza drama kwamba wameiba kura kumbe ndo umeshindwa watu wamekuchoka huna hata maendeleo jimbon kaz kususa tu. 1
@
@abcdabcd16054 years agoDah dhulma waziwazi awa ccm cjui mpaka lini izi tabia. 1
@
@mzalendomzalendo25674 years agoAnajua hata shinda ndio maana analeta vurugu, 1
@
@guccijackson30554 years agoNchi hii nna watu wake ngoja nitafute hela ni hame.
@
@emmanuelkonki594 years agoMagufuli haki iko wapi cnhi inachafuka.
@
@m.mmarckus62984 years agoJimbo la kawe kila mwaka nasubiri tu atakayepita ndombunge wangu.staki kumchukia mtu nawakat mm pia sijui km napendwa siasa pia siiwezi niko busy kupambania maisha yangu .....Expand13
@
@mohamedmzeeassuufiyy13344 years agoMimi nimekuzwa na ccm lkn chaguzi hii imenitia kichefu chefu.
@
@pastorjamesmajaliwa78434 years agoDaa serikali hiii ndio maana mm siitaji kuwa mwenye chama chochote yanayo endelea ni upumbavu ambayo tujawai ona leo tunayaona.
@
@wallaceigeoge75154 years agoItabaki story ukiona manyoya ujue kimeriwa.
@
@karolikisaka89914 years agoWaliwaandaa viongozi wa dini kutufitini huu ni uhuni hakuna amani pasipo haki. 23
@
@tztanzania22624 years agoTukio la kwanza uchaguzi serikali za mitaa tukio la pili uchaguzi mkuu 2020 hakuna chaguzi za ajabu kama hizi mbili zote ktk awamu ya ngosha.
@
@bebebebe56774 years agoMi nataman nijue matokeo ya jimbo la kawe. 1
@
@mzeejombi80474 years agoDah msilalamike wananchi huu ndk uchaguz huru na wahakki.
@
@mariasalomemelchiorkaigaru19744 years agoHaya mambo ni nchi zetu tu ndio yanatokea.
Related videos for Vuta nikuvute Halima Mdee na Polisi Kawe.:
ila mimi nafikiri kwamba njia sahihi ilikuwa wananchi kugoma kupiga kura kama walihisi tu id="hidden2" umefanyika na kuingiza mabegi yenye kura ambazo hazikuwa halali. ...Expand
ngoja nitafute hela ni hame.
ndio maana mm siitaji kuwa mwenye chama chochote yanayo endelea ni upumbavu ambayo tujawai ona leo tunayaona.
huu ni uhuni
hakuna amani pasipo haki. 23
tukio la pili uchaguzi mkuu 2020
hakuna chaguzi za ajabu kama hizi mbili zote ktk awamu ya ngosha.