Duration 8:20

Simba 2-2 Azam | Magoli yote na penati ya Chama | VPL

388 202 watched
0
1.5 K
Published 7 Feb 2021

Simba na Azam wamekabana koo na kutoka sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Simba yamefungwa na Luis Miquissone pamoja na Luis Miquissone wakati Azam wakipata mabao yao kupitia kwa Idd Seleman 'Nado' pamoja na Ayoub Lyanga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Category

Show more

Comments - 310