@arasanaamour5032 years agoHii story ni mzuri ila haijapata msimuliaji. 8
@
@hamisabeid11095 years agoMaana yake ukifa wanatokea watu wengine kama aliyefariki inategemea utazaliwa nchi gani. 22
@
@amourmohd73675 years agoAa bro hatkuelew turudishien mtiga abdallah. 3
@
@lampadshigonko3006last yearHeavy elements (mfano; chuma) inazaliwa baada ya star kufa. 2
@
@mumbua0042 years agoMngeeka babu owino n. A. Czar wakenya mnanielewa jameni hehe.
@
@guccij35494 years agoMe nxhawai kuota ndoto afu ikatokea kwel. 1
@
@emamuharamain45525 years agoBroo unaongea haraka sana yan daah. Ngum sna kueleweka jaribu kumsikiliza ananias edger. 10
@
@rechomassawe635 years agoEee bwana e, inabidi nichungulie future kupitia simpson cartoon. 12
@
@yangproduuza31635 years agoDuu bac na mm ntakuwa na pacha wang kweli mungu n mwema. 7
@
@ashurajengela39262 years agoHujui kusimulia aisee kha utafikiri unakimbizwa.
@
@chynabongoo35635 years agoUjatueleza vzr wapo weng wa hivi wengne ata sio maarufu. 1
@
@hamiduhamisimrisho4323last yearWasaf alud jamali story book ndy anae jua kusmulia na watu tukamuelewa.
@
@brightnessleonald-hs8iblast yearHii kazii waachie wenyewe we huwez unatuchanganya tuu.
@
@atrendtv4822 years agoKuna picha ningependa kukutumia ya majabu naweza kutumia aje?
@
@ismailjuma40215 years agoLincolin na kennedy walitolewa kafara na wazee wa kazi illuminat. Na ijumaa around kuanzia saa tano asubuh ndo muda wao. Ko wakristo wazuri muwe mnawaombea mateka wa kichawi ikfka sku hyo wajameni. 3
@
@furahashayo3132 years agoBas ndiyo maana hata mimi ninahis hapo zamani nilikua mwimbaji. 4
@
@Abdillah214last yearHivi bado mnaamini kama time travel ipo, kuna kifaa gani chenye spidi ya muangaza mpka leo hi.
@
@luckynightolga71403 years agoSasa mm nitazaliwa marecan na mwenye atakuwa raisi.
@
@amiltonmichael53775 years agoDuuh mmecopy bright site man, mmh sio kwa kugandamizia. 5
@
@khadjikareem57805 years agoInaitwa time travel means unaeza kua mbele ya mda au nyuma yani ni kuingia kwenye wakati ambao siyo wakati wako mfano kuna matukio tashatokea miaka ya 15th ambayo ni yaleo hiyo ni time travel. 13
@
@karimhamisi46274 years agoMbwembwe nyingi hata haueleweki unazungumzia nini jifunze kupitia wengine.
@
@moseshaule586last yearHata magufuli azaliwe tena jamani aje awanyooshe.
@
@flochege9465 years agoDunia ina mambo mm siku ya kusaliwa kwa mamangu ni sawa na siku ya kifo chake tarehe na mwezi huohuo. 6
@
@oscaroscaroscar79745 years agoNdio mana wanasema ukifika tanzania unaenda zaliwa huko amercan or ruvu. Mimi mama yangu kafa kitambo mnoo ila cha ajabu kuna dada kafanana nae paka nalia nikimuona huyo dada. 9
@
@maswamills3161last yearUhai wabinadamu haufi ni mbegu hai, ni mizunguko tu kama mbegu zingine. 1
@
@charlsesospeter94492 years agoAcheni uwongo mna tuona majinga mbn mnaweka langi mbili tofauti ili mtunfanganye vizur nyoko mtu mmoja mna semaha felali semen tutume picha za mwanzilishi wa magar ya felali kama wata fanana na uyo ozil wenu mbwa nyie. 1
@
@mikequavo54815 years agoHii chanell ikona ujinga kupidukia. Kwedeni uko.
@
@ambarmbarak30445 years agoHhh bc mfanano mwengine wa ray c na recho musipost utumbo. 12
@
@mussajuma70842 years agoHayo maandishi ya nini mnaweka kama mnasimulia acheni hizo mambo.
@
@abdullahiahmed48065 years agoNdungu yangu make your own videos acha kutafsiri videos za other you tubers.
@
@GamiTVOnline5 years agoMngeweka na mfanano wa alikiba na bush man. 46
@
@uswazitv30025 years agoMe ata sielew umesimulia nin. Rud shule tuh mzee uelewek. 1
@
@gasperkanje89305 years agoJamaa ongea taratibu basi unakimbizwa au bando? 1
@
@raphaelkimario80735 years agoFursa ya biashara kwa ambaye yupo sirius anicheki ibox0785140599. 2
@
@christiangodfrey88845 years agoWadau ni hivi illuminat hupnga nani awe rais marekni. Mfano trump alishapewaga ulinzi wa kirais miaka zaid ya 20kuna matajiri wawi ambao huchagua nani aiongoze na kwa dhumun gan mfano obma ni kuahada waafrika wakat rais wa lwanza amerca ni mweusi hawamsemi chma democratc waasis wake ni weusi. ...Expand2
@
@amonmligo78195 years agoVipi kuhusu mfanano wa ali kiba na bush man jamani au hiyo hamjaiona. 3
@
@fridgeac4804 years agoMnatafuta views kwa video za uongo pumba nyie.
Related videos for MAAJABU: MATUKIO MATANO AMBAYO HAYANA MAJIBU MPAKA LEO DUNIANI:
musipost utumbo. 12