Duration 14:26

MTU ALIETEKA NDEGE NA KUDAI APEWE FEDHA (MWISHO )

42 985 watched
0
875
Published 11 May 2019

Category

Show more

Comments - 121
  • @
    @financialloan98185 years ago Nishabonyeza bro kwa sababu unaitendea haki kazi yko big up. 8
  • @
    @adamjafari96215 years ago Dahh shikamoo mr coper, nakubal kaz yako. 1
  • @
    @africangirls4825 years ago Kopa umetisha mwanangu nawakubali sana majamaa kama nyie kama pablo escobar adolf nawengine. 2
  • @
    @eddyeddy71515 years ago Safi sn kk nice job, ila nahic kopa na fbi mchongo m1. 1
  • @
    @christianbaba99715 years ago Tuletee historia ya nicole tesla mvumbuzi ac. Umeme. 6
  • @
    @nalingacomedian32515 years ago Kama unamfahamu vzr sana juan mata bhaasi davista ana haki kujiita mata nadhan nshaeleweka. 2
  • @
    @jasoniplan25215 years ago Pamoja san, ubakikiwe kwa kuzd kutupa elimu.
  • @
    @emmanuelsamwel28655 years ago Daaa kopa izo pesa zipo uku jmn kwangu. 4
  • @
    @danielelnest64875 years ago Hii bonge la story, davista we ni noma aisee.
  • @
    @sistajoy15 years ago Duh atari sana asante kwaku tuhabarisha. 5
  • @
    @muusmart20155 years ago Mzee baba hatar sana wew mtu nakuelewa sana mwanangu. 11
  • @
    @mdeeboy8465 years ago Jamaa una mwili simple, but mambo makubwa safi sana
    akubariki na wewe pia.
    5
  • @
    @phineruge34805 years ago Penda sn stor zako davister kwan sijawai jutia mb zangu kwa ajili ya kukusikiza.
  • @
    @jimmyndossi2755 years ago Kopaa ww noma miaka 40 upelelezi unafanyika bila majibu.
  • @
    @abuuashyam84175 years ago Mm nilizani huyu jamaa niprofesa wa mambo ya ndani ya usalama
    heshima kwako davista.
    2
  • @
    @rashidyahya57275 years ago Ngoja me ni comment bcs nimetamani kuwa copper. 1
  • @
    @halfankwimbi85845 years ago Upo vzr sn bro, sijawahi kucomment kwenye youtube ila wewe nmekupa saluti.
  • @
    @laylisaid95635 years ago Duu hatali kuwali aligiamini kwa nguvu zote bilaw esiwesi.
  • @
    @jacksonlicky38265 years ago Unajua kuna wezi wengine unawatafuta ili tu uwape zawadi maana wamevunja rekodi.
  • @
    @fredynyakunga28945 years ago Dahh watyu wasiokamatwa nawakubali hatar kopa atakuwa mtyu wa pili kumsikia baada ya yule aliekufa kwa kansa. 6
  • @
    @abdulyabdunuru14765 years ago Bro mi nakukubali ile mbaya uskonde tunahitaji what' sap group kama mchango tutakuchangia. 20
  • @
    @benoit2niyukuri1165 years ago Mzee baba next time tupe history ya tupac utakuw umenisaidia sana thank you. 11
  • @
    @eliatoshaluka48745 years ago Kama unamkubali jamaa usi skip matangazo kwenye video zake.
  • @
    @Diamondvideomix5 years ago Mjiandae mnaopanda airbus ntateka muda sio mrefu. 2
  • @
    @jogoogayo71045 years ago Kunalaia wamebarkiawa mawazo yakuona mbali copoa.
  • @
    @meshackmgunda87895 years ago Duh sasa ht tetes tu kuwa yupo wap hamuma.
  • @
    @bulayaconfidential72125 years ago Copper noma sana, hata akifa kaacha arama!
  • @
    @noelmunuo46605 years ago Mmmh! Mr. Kopa popote ulipo kunywa kinywaj nakuja kulipia. 20
  • @
    @azizaz16285 years ago Yaani ck zote marekani wanakuwa ga wababe cjui kwann jamaa aliyewaazima parachuti kuna kitu aligundua badala ya kumtumia ili wafanikiwe wakaona ni bore kumuua.
  • @
    @abuuashyam84175 years ago Broo kama kuna muvi wameicheza ya kopa tuekee nayo tuione.
  • @
    @eliasmwaki86495 years ago Uyo alivaa ngozi ya bandia, na akatumia jina feki.
  • @
    @lucasmhagama81665 years ago tuwekee historia ya black september sehemu ya tatu.
  • @
    @phanricky5 years ago Hawa watu wakisha fanya matukio wafany na mpango wak kuacha hata usha hid wa video tuwajue ni kina nani mamae zake mr copa yaan hii story naona kma ina endelea.
  • @
    @abdulrahmanmussalonka49355 years ago Dah huyu jamaa me nikadhani ni bonge la jitu, kumbe ana mwili kama mimi tuh, duh ndugu hongera sana, ki ukweli uko vizuri. 6
  • @
    @elitegeneration16135 years ago Ningekuwa na akili kama za copa ningetsha sana. 9
  • @
    @andrewmsunga94255 years ago Ninauhakika kopa atakua fbi mwenzao, haiwezekan akawa na akili nyingi hivyo. 4
  • @
    @charlesfundisha63765 years ago Nimekusoma mkuu hii story ni moja kati story ambayo nilipoisikia mala ya kwanza nilitamani muenderezo wake sasa leo nimeisikia muenderezo lkn sijaelewa . ...Expand