Miahitaji:
Mbatata pound 1
Kijiko kidogo 1 tangawaizi mbichi ya kusaga
Kijiko kodogo 1 thom ya kusaga
Ndimu 1
Kijiko kidogo 1 pilipili ya unga
Nusu kijiko kidogo bizari ya manjano
Kijiko kidogo 1 chumvi ( au zaidi)
Majani ya giligilani kidogo ( kama utapenda)
Unga wa kuchome kachori:
Unga wa ngano Nusu 1/2 kikombe
Maji Nusu 1/2 kikombe
Bazari ya manjano kidogo kama utapenda
Chumvi kidogo kama utapenda
Maji ya kuchemshia
Mafuta ya kukaangia
English version /watch/AW274rkWhKTW7
Category
Show more
Comments - 371
Related videos for Kachori ( Zanzibar Mix Part 2) Kiswahili: