Duration 3:2

YANGA WATOA KAULI KUELEKEA MECHI NA NAMUNGO KESHO ''WACHEZAJI WANAUMIA KWA KUTOFUNGA MAGOLI''

1 643 watched
0
4
Published 23 Jun 2020

Afisa Muhamashaji wa klabu ya Yanga SC Antonie Nugazi amewaomba mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwenye mchezo wao dhidi ya Namungo FC utakaochezwa hapo kesho kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam majira ya saa 1 usiku.

Category

Show more

Comments - 4